Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hta hyo nayo sifa kama hujui
Hao wa kwenu c vinawawasha kila cku mnaishia kuchangia

Kumbe wewe ni wa Arusha? Didyou take it personal and offensive?! Sikumaanisha sifa mbaya yaani ni hata tohara kwa wanaume ni relative, waweza kuion nzuri ilhali wengine wanaiona si sawa.
Yote kwa yote, weekend njema na sikuandika mimi with love
 
1976 - Clarence Seedorf anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Ajax, Real Madrid, Ac Milan na timu ya taifa ya Uholanzi.

Ametwaa taji la Uefa Champions League mara akiwa na timu tatu tofauti na kuwa mchezaji pekee kufanya hivyo.

Akiwa na Ajax mara moja, Madrid mara moja na Ac Milan ametwaa mara mbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom