kweli jasir haogopi kuumiaGood morning all kapuku ,ni Siku nyingine tena Mungu katujalia kuiona na nashukuru sana kwa upendo wenu
Naomba mtuweke kwenye maombi yenu make mpenzi kipenda roho changu shunie mungu akijaria Leo au kesho mnaweza mpata anko[/b] naona kaamka na uchungu ila shaka ondoa najua Sara zenu naamini atakuwa poa
Niko mbali nae kidogo ila nshaanza safari ya kuelekea hospital aliyopelekwa ..nafikiri mlijua ni utani wa humu kapuku ila ni kweli mm na shunie ni wapenzi kabisa ndo maana wengine wanaona nina wivu
Soon tutayapitia magazeti![]()
Tuko Poa maombi yako shunie Leo au kesho anaweza kuwaletea ankoMkuu lee empire asante kwa magazeti
Jana nilichoka ata skuaga familia yangu
Ila saiv mambo shwa vip lkn jux
Maombi yako mkuukweli jasir haogopi kuumia
Tuko Poa maombi yako shunie Leo au kesho anaweza kuwaletea anko
Maombi yako mkuu
Jambo jemaa mkuuUsiniambie
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asantee mkuuMUNGU AWATIE NGUVU![]()
![]()
![]()
Nimekuja jmn amkaAisha ukuje huku uwaambie kuwa me na ww now ni mwili mmoja ni kifo tu ndio kitakochotutenganisha
Pacha hapo kwenye red.
Sio kifo
Ni ukosefu wa bando na pesa

Aishah wa mwaka jana mambo mremboNimekuja jmn amka
Poa nambieAishah wa mwaka jana mambo mrembo
HahahaAtatoboa nini!!!!???
Poa nambie
Kila la heri MkuuGood morning all kapuku ,ni Siku nyingine tena Mungu katujalia kuiona na nashukuru sana kwa upendo wenu
Naomba mtuweke kwenye maombi yenu make mpenzi kipenda roho changu shunie mungu akijaria Leo au kesho mnaweza mpata anko naona kaamka na uchungu ila shaka ondoa najua Sara zenu naamini atakuwa poa
Niko mbali nae kidogo ila nshaanza safari ya kuelekea hospital aliyopelekwa ..nafikiri mlijua ni utani wa humu kapuku ila ni kweli mm na shunie ni wapenzi kabisa ndo maana wengine wanaona nina wivu
Soon tutayapitia magazeti![]()
Hongereni jmn ngoja tutafute vizawadiTuko Poa maombi yako shunie Leo au kesho anaweza kuwaletea anko
baadae family