Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Weka mapenzi kando piga kazi maisha yalainikeMkuu na Mimi nimewawekea sukari ya warembo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ya zaman ilikuwa inanizibia rizik
Weka mapenzi kando piga kazi maisha yalainikeMkuu na Mimi nimewawekea sukari ya warembo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ya zaman ilikuwa inanizibia rizik
SIO NITAMPATA MWINGINE niKauli ya kinyonge
I imagine 45 - 50Umekosea kabisa..! I am 50's
Huwezi amini...!
Makupuku tufanye party ya kufahamina..
Mtanishangaa sana siku hiyo..!![]()
Sifahamu jooHivi kule mmu wamefuta Uzi wangu 'wanawake kwa nini hawaolewi
Mpaka leo siielewiUnakosaa mambo kijana ...bonge la series
![]()
PoaIngia PM
....
.
Ready tunedLEO katika HISTORIA:
- Mwezi wa 4 tutashuhudia, kuzaliwa kwa baadhi ya watu maarufu kama vile Malkia Elizabeth wa II,
William Shakespere,
Adolf Hitler
Charlie Chaplin
J.K Nyerere
John Cena
Leonard Da Vinci
Pia bila kusahau;
Mwaka Mmoja wa Makapuku Forum
Dont Miss It!
So sad1993 - Brandon Lee anafariki Dunia.
Ni wakati akiigiza filamu yake ya The Crow ambapo alipigwa risasi halisi iliyokuwa imewekwa kwenye bunduki ya kuektia.
Ni mtoto wa staa wa zamani wa filamu za mapigano Bruce Lee.
Inasemekana kifo chake ni hujuma kutokana na kwamba, alienda Hong Kong kuchunguza kifo cha baba yake, hivyo alivyorudi Marekani akasema amalizie kwanza Movie yake kisha ataje kilichomuua baba yake, matokeo yake akafa na siri yake.
Ahsante kwa history mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema na maandalizi mema ya kuianza Wikendi.
Ijumaa Kareem.
Morning to you DGod morning
Morning mondMorning my family
Hope waote mpo bomba.
Mm niko bomba japo ukhuty kaniacha
Haina noma nitapata mwingine
Asante mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema na maandalizi mema ya kuianza Wikendi.
Ijumaa Kareem.
Morning Q.Morning mond
Nzuri kububuuHabari ya mchana humu ndani
Hali vip mkuuMorning Q.
Salamaa kabisaaHali vip mkuu
Naitwa KIBUMBUNzuri kububuu
Sorry mkuu.Naitwa KIBUMBU
Unadhani nakuangalia vizuri..ukhuty labda utembee nae mfukoniSorry mkuu.
Halafu weka picha eeh