Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haya sasa tuangazie matukio yaliyotokea March 31

1889 - Mnara wa Eiffel Tower wazinduliwa rasmi huko Jijini Paris Nchini Ufaransa.

Ulibuniwa na Gustave Eiffel ambaye alikoselewa sana na baadhi ya watu kuwa mnara huo hauna shepu au muonekano wa kuvutia.

Una urefu wa mita 324 kwenda juu, sawa na viwanja vitatu vya mpira, na unatembelewa na watu takribani Milioni 6 kwa mwaka toka sehemu mbalimbali Duniani.

Ni moja kati ya alama na minara maarufu duniani.

Ndio utambulisho wa Jiji la Paris.
f1874e52423c767fa0bae184c91ea1e4.jpg
43af2c707e18b0e1a2f39f2149e767b1.jpg
b666006e083059c84f9cd6b7bca440cc.jpg

Kuna mjanja alishawahi kuuuza km chuma chakavu ni kupiga pesa za mabwege
.....
 
1993 - Brandon Lee anafariki Dunia.

Ni wakati akiigiza filamu yake ya The Crow ambapo alipigwa risasi halisi iliyokuwa imewekwa kwenye bunduki ya kuektia.

Ni mtoto wa staa wa zamani wa filamu za mapigano Bruce Lee.

Inasemekana kifo chake ni hujuma kutokana na kwamba, alienda Hong Kong kuchunguza kifo cha baba yake, hivyo alivyorudi Marekani akasema amalizie kwanza Movie yake kisha ataje kilichomuua baba yake, matokeo yake akafa na siri yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom