Makapuku Forum

Makapuku Forum

Empire sijawahi angalia hata Episode moja!
Weka picha yake tumuone.
Unakosaa mambo kijana ...bonge la series

8bfe6825045477cd9a055bd2fc391514.jpg
 
Haya sasa tuangazie matukio yaliyotokea March 31

1889 - Mnara wa Eiffel Tower wazinduliwa rasmi huko Jijini Paris Nchini Ufaransa.

Ulibuniwa na Gustave Eiffel ambaye alikoselewa sana na baadhi ya watu kuwa mnara huo hauna shepu au muonekano wa kuvutia.

Una urefu wa mita 324 kwenda juu, sawa na viwanja vitatu vya mpira, na unatembelewa na watu takribani Milioni 6 kwa mwaka toka sehemu mbalimbali Duniani.

Ni moja kati ya alama na minara maarufu duniani.

Ndio utambulisho wa Jiji la Paris.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom