BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
TutashangaanaUmekosea kabisa..! I am 50's
Huwezi amini...!
Makupuku tufanye party ya kufahamina..
Mtanishangaa sana siku hiyo..!![]()

TutashangaanaUmekosea kabisa..! I am 50's
Huwezi amini...!
Makupuku tufanye party ya kufahamina..
Mtanishangaa sana siku hiyo..!![]()

1972 - Evan Williams anazaliwa.
Ni Mfanyabiashara wa Kimarekani ambapo ni mmoja wa waanzilishi wa mtandao wa Twitter.
Basi mwororohNdio Baba mchungaji mambo yake sio ya nchii hii

1980 - Jesse Owens anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanariadha kutoka nchini Marekani.
Mshindi wa medali kadhaa za dhahabu katika mashindano ya Olimpiki.
I'm very fine Madam, Amen.....be blessed tooGoodmorning sir hope you are fine, have a wonderful and Blessed day.
Thanks MussoLeo katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema na maandalizi mema ya kuianza Wikendi.
Ijumaa Kareem.
Umezidi kuwa mbalikiwe Mkuu.... Umetulisha vizr historia!!Leo katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema na maandalizi mema ya kuianza Wikendi.
Ijumaa Kareem.
1993 - Brandon Lee anafariki Dunia.
Ni wakati akiigiza filamu yake ya The Crow ambapo alipigwa risasi halisi iliyokuwa imewekwa kwenye bunduki ya kuektia.
Ni mtoto wa staa wa zamani wa filamu za mapigano Bruce Lee.
Inasemekana kifo chake ni hujuma kutokana na kwamba, alienda Hong Kong kuchunguza kifo cha baba yake, hivyo alivyorudi Marekani akasema amalizie kwanza Movie yake kisha ataje kilichomuua baba yake, matokeo yake akafa na siri yake.
AmenLeo katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema na maandalizi mema ya kuianza Wikendi.
Ijumaa Kareem.
Mh!!!.....We una nini kila leo kuachwa!!!.....au huweziii.....Morning my family
Hope waote mpo bomba.
Mm niko bomba japo ukhuty kaniacha
Haina noma nitapata mwingine

Wacha tu mm nina gundu balaaMh!!!.....We una nini kila leo kuachwa!!!.....au huweziii.....![]()
![]()
![]()
Links nzijua ngoja niitafute.Kutana na king mwenyewe Lyon lucious..mkewe cookie na watoto wao hakeem ,Andre and Jamal
"A music family"
Matimbwiri ya humo sio mchezo
![]()
ChumbaniSwali kama jepesi ila gumu sana... Na mi niulize kidogo chakula cha mezani au chumbani Mkuu!?
Fungua Fanta Unywe ( FFU ) wangetumika ipasavyo!![]()
Wabongo tumeshindwa kupinga makato ya Sizonje 15%![]()
....
Hivi kule mmu wamefuta Uzi wangu 'wanawake kwa nini hawaolewiLinks nzijua ngoja niitafute.
Kauli ya kinyongeMorning my family
Hope waote mpo bomba.
Mm niko bomba japo ukhuty kaniacha
Haina noma nitapata mwingine