Makapuku Forum

Makapuku Forum

1bb641fe81e2787edb74af7515a6caa5.jpg
90cdb6250d6a910ea2c0a3930cfb7b81.jpg
f3fae42f968706e2fe048fe25244b838.jpg
efc358987d1d4dde811de15cf38d2fa5.jpg
R.I.P Jesse
 
1993 - Brandon Lee anafariki Dunia.

Ni wakati akiigiza filamu yake ya The Crow ambapo alipigwa risasi halisi iliyokuwa imewekwa kwenye bunduki ya kuektia.

Ni mtoto wa staa wa zamani wa filamu za mapigano Bruce Lee.

Inasemekana kifo chake ni hujuma kutokana na kwamba, alienda Hong Kong kuchunguza kifo cha baba yake, hivyo alivyorudi Marekani akasema amalizie kwanza Movie yake kisha ataje kilichomuua baba yake, matokeo yake akafa na siri yake.
R.I .P Brandon Lee
 
Naija!!! I no fit shout!

A man went to a Nigerian hospital for a check up. The x-ray showed he had a cockroach in his chest area and he would need surgery to remove it. After thinking about what he'd been told, he went to UK for a second opinion. They took a new x-ray and told him the cockroach was in the nigerian x-ray machine and not his chest.

Always get a second opinion!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom