Sekunde tu kama umemeMkuu kwani maombi yanachukua mda gani mpaka yaanze kufanya kazi!
WoyoooooooOyooooooooooooo
Ndiyo basi tena,tafuta mwingine.Jamani, Mkuu Th Name nimemmiss mahabuba wangu.
Daah kumbe hayombona ipo wazi mkuu, siku tatu nyuma ulitawala jukwaa na tulishuhudia vijana wetu wakipitia wakati mgumu (dilema) Kwa kukimbiwa na wenzi wao bila taarifa. kila unayemwombea anakutana na majanga ya kukimbiwa bila sbb ...
Mkuu nakuomba usirudie kuombea ndoa yangu, tena nimegundua wewe mwenyewe una mapepo.Sekunde tu kama umeme
OooohHuyu atakuwa anagawa mapepo badala ya kuyatoa.
Kijana leo yamemkuta,wife yuko busy na wengineKijana mbona unalia lia, kwani umejipangaje?
, haya mapenzi balaa sana.Mapenzi ni hatari sometimesKijana leo yamemkuta,wife yuko busy na wengine![]()
![]()
![]()
, haya mapenzi balaa sana.
NimekusameheKosa moja halifukuzi mke baba mtumishi,tasavali sweetie..
Mbona kama umepokea ombi langu kwa shingo upande my sweetheart.Anhaa....... Sawa![]()
![]()
![]()
Mbona na mie katangaza kuniacha? Sasa sijui tunawafundisha nn makapuku wenzetu sisi kama watumishi.mbona ipo wazi mkuu, siku tatu nyuma ulitawala jukwaa na tulishuhudia vijana wetu wakipitia wakati mgumu (dilema) Kwa kukimbiwa na wenzi wao bila taarifa. kila unayemwombea anakutana na majanga ya kukimbiwa bila sbb ...
Issue gan shem?Shemeji yangu lizziebettie kama upo karibu pita upande huu kuna ishu ya ku-discuss hapa..
Nimemmiss jamani.Agyyjay atakuja acha hofu
Mkuu kulikoniMimi pia huyu mchungaji simuamini kabisa.
Asante baba mtumishi,nguo zilishaanza kunipwaya ujuee..Nimekusamehe
NimemsameheHahaaaa
Anabip huyo .....