Makapuku Forum

Makapuku Forum

d4068d47ce0c4da2e3fb64429343922c.jpg
 
Wakuu hope nyote mnaendelea vizuri ,nimewamisi kiukweli ila soon tutakuwa wote nimebahatisha mtandao kidogo hapa ikakubali kuwasha E

My baby Shunie najua u always on my back but nakumis kiukweli ule ukorofi wako na 'kupanic'


Ila nina mashaka na kamati yangu kama wanafanya kazi

Niulizee jamani Baba mchungaji ashajulikana officially make post zote nimeskip japo inanipa wasiwas kwa wabaya wangu kwa shunie


Mr T and sakayo nawamis

Kisheti ,pimbi,mwekagazina na mzee mkavu souudy vip mshapata wenzenu au mnasumbua wake za watu


nina dk 15
Tunakumiss pia mkuu..

Princess S anakusalimu..

Shunie yupo pouwa wala hakuna aliyemsumbua..

Kina kisheti bado wanambaamba tuu..!

Wanapata wanapigwa chini !

Piga kazi mkuu..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom