Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tuko pamoja jux wivu.
Mm nishapata wangu sijui wengine.
Baba mchungaji hajajulikana.
Tunaanzisha mgomo wa kutochat humu mpaka atajwe...ila pimbi hali yake sio nzuri kivile
hahahhh jamaan baby wangu kawa jux wivu by the way hongera sana mondray kwa kutoka kwenye chama la geisha huko naona umewachia wakina nyagei na wenzake
 
Wakuu hope nyote mnaendelea vizuri ,nimewamisi kiukweli ila soon tutakuwa wote nimebahatisha mtandao kidogo hapa ikakubali kuwasha E

My baby Shunie najua u always on my back but nakumis kiukweli ule ukorofi wako na 'kupanic'


Ila nina mashaka na kamati yangu kama wanafanya kazi

Niulizee jamani Baba mchungaji ashajulikana officially make post zote nimeskip japo inanipa wasiwas kwa wabaya wangu kwa shunie


Mr T and sakayo nawamis

Kisheti ,pimbi,mwekagazina na mzee mkavu souudy vip mshapata wenzenu au mnasumbua wake za watu


nina dk 15
awww miss u badly hunnie hahahh najua tu lazima umiss ukorofi wangu nakuombea baby urudi tena kama kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom