Makapuku Forum

Makapuku Forum

hivi ujue lee nimezaa nae huyo uliyemkimbia mmu cha mtto mm ndio sura kama masoud sura mbaya lee peke ake ndio kanipenda nilivyo
Aaaaa wapi. Una vibe nzuri sana. We ni kati ya wale wanawake ukiwa naye mambo yako yanakwenda vizuri tu. Wanawake wa aina hii ni nadra; na mambo ya sura na uzuri wa mwili huu upitao unatupa pembeni kulee....
 
Tena mpaka kieleweke...

Halafu Shunie wewe mkorofi. Umepiga kufuli PM. Kuna siku nimekuja full force PM na zawadi juu kumbe PM imefungwa. Mpaka leo bado nasonya!!!
ila mwanzo kabla sijfunga unakumbuka ulikua unakuja ulikua una busara mwenyewe

Sasa hivi toka nimefunga funguo anazo lee sbbu nashare nae password
 
Aaaaa wapi. Una vibe nzuri sana. We ni kati ya wale wanawake ukiwa naye mambo yako yanakwenda vizuri tu. Wanawake wa aina hii ni nadra; na mambo ya sura na uzuri wa mwili huu upitao unatupa pembeni kulee....
we jipe moyo tu lee ndio anaujua ukweli by the way tumekumiss jlw siku uje kututembelea kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom