Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,097
Hahaha, kwani na mimi niilikuomba moyo wako??


hadi umequote mara mbili....kweli hukuomba


Hahaha, kwani na mimi niilikuomba moyo wako??


hadi umequote mara mbili....kweli hukuomba


Subira yavuta heri![]()
![]()
am weiting
Mimi niko humu kapuku tangu muda sana, sema nilibanwa na mambo fulani fulani nikapotea, alafu wakati huo nilikua bado sijajifunza kua mkimyahahahahahh kinyongo gan, halaf kuna kitu nimeona toka uingie huku kapuku umekua mpole mbona zaman ulikua mwongeaji sana
hahahahahh ndio mana alikua hajijui kama yupo kwenye mchujo yy sijui anamtaka nanhadi umequote mara mbili....kweli hukuomba
![]()
sema nikikutumia hayo macho humu wanga wengi, watanilogaNayapenda
kwahiyo ulivyorudi mara ya pili ndio umejifunza kuwa kimyaMimi niko humu kapuku tangu muda sana, sema nilibanwa na mambo fulani fulani nikapotea, alafu wakati huo nilikua bado sijajifunza kua mkimya
Hana msimamohahahahahh ndio mana alikua hajijui kama yupo kwenye mchujo yy sijui anamtaka nan
Hutaki moyo wako ufanye kazi ya kupendaNimefanyaje tetra?
hahahhh naona mshindi kwa mbaliUna bidii![]()
Ushauri mzuri lakini Malkia. We mwenyewe ni mgeni huku au ulikuwepo halafu ukaondoka?Ng'ang'ania hapohapo....hadi ubarikiwe![]()
Msimroge jamaniisema nikikutumia hayo macho humu wanga wengi, wataniloga


hahahhahah namuona soudy brown kwa mbali anaibuka mshindiHana msimamo
Yeap, alafu siunajua na scarcity ya humu...ni bora kua mpole tukwahiyo ulivyorudi mara ya pili ndio umejifunza kuwa kimya
Kwahiyo mmeamua kunisemaHana msimamo
hahaha mm tena jamaanYeap, alafu siunajua na scarcity ya humu...ni bora kua mpole tu
Plus wewe mwenyewe ..ni shida tupu
Aaaah, siweziUlale saizi