Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani huku Makapuku kuna uhaba mkubwa wa mabinti. Imagine kuna Queen Kan, Shunie na mwingine sijui nani. Na karibu wote wanadai wana watu wao. Sasa sisi makapuku wengine tufanyeje? Ndiyo maana huko nyuma niliwahi kushauri tujaribu hata POLYANDRY liwalo na liwe...
Mkuu comenti yako nikisoma siishiwi kutabasamu asee sasa poradly niwapi huko ?
 
si muende mmu mkatafute wenu muwalete huku kapuku
MMU chaka fishe lile. Nilishawahi pata mtu kule akawa ananitumia picha zake mrembo anawaka kuja kumwona laivu maweeee! Kumbe alikuwa ananitumia picha za Form IV bana wakati mtu mzima ameachika tena na watoto juu. Nilishaacha haya mambo ya mtandaoni kwa sababu miye sina tabia ya kuchezea watu. Basi ali-apologize sana wakati mi nilishapotezea jumla. Afadhali huku huku ngoja nikushupalie wewe tu mpaka kieleweke...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom