BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Nawe pia njozi njema ibarikiweHello Fellas...
Nashukuru kwa kampani ya leo..
Naaamini kila mtu ana amani na furaha..
Nawatakia usiku mwema.
Nawe pia njozi njema ibarikiweHello Fellas...
Nashukuru kwa kampani ya leo..
Naaamini kila mtu ana amani na furaha..
Nawatakia usiku mwema.
Ng'ang'ania hapohapo....hadi ubarikiweBagamoyo imetumika kisitiari mama. Unaweza kuiondoa na kuweka mji wo wote uliko na ndugu. By the way, kuna vilodge vizuri huko Bagamoyo na nikikualika utakuja tu hata kama huna ndugu huko...Halafu eti Lee hachepuki. Si ajabu ana michepuko mpaka jijini Koromije.
![]()



Usiku mwemaNami pia Niwatakie usiku murua!!!
Love you all!!!
Sweet love ulale salama honey, nitawale kwenye ndoto zako babaa wa watoto wa mie, love yo
Aku....staki kulala na broken heartKwa sauti ndogo, hawatasikia
hahahhaah mjibu malkiaUwii bora nisikujibu, naogopa kuumia![]()
Mimi ni pure man sidanganyi ukweli ni kwamba naomba tuwe couple kama lee na chimamy wakeMmmh we soud jamani!! Mwisho utanisifia na vya uongo sasa

Goodnight sirGoodnight fellaz![]()
![]()
![]()
![]()
hahahaha lee wangu hachepukiBagamoyo imetumika kisitiari mama. Unaweza kuiondoa na kuweka mji wo wote uliko na ndugu. By the way, kuna vilodge vizuri huko Bagamoyo na nikikualika utakuja tu hata kama huna ndugu huko...Halafu eti Lee hachepuki. Si ajabu ana michepuko mpaka jijini Koromije.
![]()
haahhhahhahaHehehe, basi kuanzia leo jaribu kutumia na kichhwa
Nimeshaelewa tayariKwa kutumia app naweza kukuelekeza ila kama ni kwa Computer sitoweza mkuu
Nawe pia
Hata nguvu ya kujibu sina....nahisi nshaachikahahahhaah mjibu malkia

hivi unatutafuta nn na baby daddy wanguNg'ang'ania hapohapo....hadi ubarikiwe![]()

Ulale salamaUsiku mwema mnaolala.....sisi tuko macho mida ya wanga
Mimi bado niponipoMimi ni pure man sidanganyi ukweli ni kwamba naomba tuwe couple kama lee na chimamy wake![]()
![]()
![]()
hahhaahh acha woga jibu kama umeachika hamia kwa soudy anaonekana anajua kupet petHata nguvu ya kujibu sina....nahisi nshaachika![]()

Nawe pia mumieUlale salama
Nani atathubutu ku-break moyo wako wakati bado ninaishi??Aku....staki kulala na broken heart