Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Na ubaridi wa Leo tumalizane mapema aiseeeeeehhahahh nitajitahidi
Na ubaridi wa Leo tumalizane mapema aiseeeeeehhahahh nitajitahidi
Ulishawahi kukutana na hii id ya Th Name wewe?nilihisi hiki kitu
Ati hakujui huku ni mutu yakomashaka ya nn
Katika situation ipi?Unajua siku moja moja viroba vinasaidia sana
Kiki yako sijaipendaaaa...unataka kuninyanganya my cheupe ??
Saaana tuKumbe ulimuelewaa
Kumuuliza kama ana chura au laYap tenaa
Karibu sana usajili wako ni kama Zlatan kwa United.Naomba usajili wa Chama la Makapuku
Mkuu unapenda vitu vya hivi.. eeh?
![]()
Halafu sijapata jibu mpaka sasaSwali mubasharaaaa
Kuwa tu mkweli usiunyime moyo amani yakeKiasi chake bosi
Wa kujitakiaOhooo mm namkosi aisee
hahahhh umejuajeNa ubaridi wa Leo tumalizane mapema aiseeeeeeh
*TANGAZO:*
*Kwa anaehitaji mtoto ndani ya mwaka huu 2017 ahakikishe hiyo mimba inatungwa leo kinyume na hapo mtoto atazaliwa mwakani. Ahsanteni*

Nilishawahi kukutana nayoUlishawahi kukutana na hii id ya Th Name wewe?
Salama tu mkuuHabarini wanajukwaa