merci beaucoupMada yoyote rukusa! Isipokuwa zile zinazovunja sheria za Jamiiforum..
Your are warmly welcome.
Kaa mbali naye huyo ni shemeji yako aiseeKuna mdada humu ila now haji sana huku anaitwa Madame S nimempenda sio siri
Ohooo mm namkosi aiseeKaa mbali naye huyo ni shemeji yako aisee
Pole sana kijanaOhooo mm namkosi aisee
Ila avatar ni ile ile tu.What the fire?
I didn't know this...! Sawa mkuu
Mkuu hivi na wale watoto wa kirundi wanaokaa ujiji si umewamaliza kweli...Ohooo mm namkosi aisee


Teh teh teh zile toto za kimanyema, totoz za kitusi kutoka manyovu. Totoz za kiha na kifipa wote dada zangu.Mkuu hivi na wale watoto wa kirundi wanaokaa ujiji si umewamaliza kweli...
Manake utakuja kutongoza mwanaume mwenzako sasa![]()
In short hauna mshambuliajiNitakuwepo baadaye kule jukwaani kwa ajili ya pre-match discussion..
Msalimie Rutta..![]()
Kambuka enzi hizo nulikuwaga na muha mmoja matata sana...nahisi alikuwa mrundi..Teh teh teh zile toto za kimanyema, totoz za kitusi kutoka manyovu. Totoz za kiha na kifipa wote dada zangu.
BTW. Nilikua nafaham fika kua Madam S ni shemela wetu kwa Baily5
I know ...In short hauna mshambuliaji
Umesahau kimoja .....Karibu mkuu!
Hapa tunapeana mawazo juu ya changamoto za maisha!
Tunashare utani na vitu vingine vingi kuhusu maisha...!
Heshima ni kitu muhimu kwa members wote humu! No grades! Wote tu sawa...
Karibu sana

Be humble basi shemeji...! Nitakupotteza kama kina fakalava na johnsonmgaya...Umesahau kimoja .....
Shunie ni wa lee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mashaka ya nnNapata mashaka
Ahaaaaaaah fakalava ulimpiga kipapaiiBe humble basi shemeji...! Nitakupotteza kama kina fakalava na johnsonmgaya...
leo nimekua mpoleUsisemee mengi lakini Leo ....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hahahhahah nini nilichonachoUlichonacho ndo nakipendaaa sanaa