Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Paprika alimpaa banOoh! Paprika vipi kwani? Mliachana?
Paprika alimpaa banOoh! Paprika vipi kwani? Mliachana?
Yap wako vizuri sana ila wanaopendwa kuimbwa ni MAREKANI.![]()
![]()
![]()
Wajapan wapo vizuri sekta ya uhandisi si unaikumbuka KONOIKE
....
Mkuuu nitonye sijui chochote...Hicho tuu shem! Na kingine ...ni pale lee atapokuja na kuona yale maneno..
Zile Baiskeli ni product za China.![]()
![]()
![]()
Mbona na baiskeli ziliitwa phoenix au jina tu
....
Zile Baiskeli ni product za China.![]()
![]()
![]()
Mbona na baiskeli ziliitwa phoenix au jina tu
....
Weka tuMimi nina kipaji cha kuweka makala kwenye magropu fb na wasapu sijui mtaniruhusu...na niweke makala yapi
Unataka ban nyingineDaah basi ww karembo aise nimekupenda
Wazungu ni wabaguzi![]()
![]()
![]()
![]()
Tunahimizwa tupendane lakini hawajawahi kumchagua Kadinali mweusi kuwa Papa
....
SikujuaaaJe wajua?
Jimbo la Hawaii nchini marekani ndio linalozalisha zao la kahawa tuu nchi marekani..
Kabla ya Hawaii liliitwa Sandwich island.
Asanteshukran mussolin na kwako pia
Pamoja mkuuObrigado Mussolin5
Hata mimi nina mashaka naeWewe ni mondray ???
Aiseeje wajua ?
Jina la kampuni ya Nokia ni jina linalotakana na mji ulioko kusini mwa nchi ya Finland
Neno hilo ninatamkwa kwa finland kama noki likiwa na maana ya soot au masizi..
Likitamkwa kwa wingi sasa linakuwa nokia
unafkili atakukubaliaWewe ni mondray ???
DuuuuuuuhJe wajua
Kama vina saba vyako (DNA) vikinyooshwa vitakuwa na urefu wa kufika mwezini mara 6000
1989 - Marko Marin anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Chelsea kutoka nchini Chelsea.
Katika misimu yake minne aliyokaa Chelsea kuanzia mwaka 2012 mpaka 2016 amekuwa ni mchezaji wa kutolewa kwa mkopo katika klabu mbalimbali kama vile Sevilla, Fiorentina nk
Ametwaa Europa League akiwa na Chelsea pamoja na Sevilla.
Kwasasa anakipiga Olimpiacos ya Ugiriki.