Makapuku Forum

Makapuku Forum

499ea6216f22010f809a8d69ba0dfdd0.jpg
a822c3b38e2713389fcc92cdf71cc648.jpg
ceb402197509fd3632d676e9666dc62b.jpg
fd7e1d9b41c1d99e209e726c107305cf.jpg

Tunahimizwa tupendane lakini hawajawahi kumchagua Kadinali mweusi kuwa Papa
....
Oooh! Umegusa kitu...sema sasa hawapo huku kwa kapukuz
 
1989 - Marko Marin anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Chelsea kutoka nchini Chelsea.

Katika misimu yake minne aliyokaa Chelsea kuanzia mwaka 2012 mpaka 2016 amekuwa ni mchezaji wa kutolewa kwa mkopo katika klabu mbalimbali kama vile Sevilla, Fiorentina nk

Ametwaa Europa League akiwa na Chelsea pamoja na Sevilla.

Kwasasa anakipiga Olimpiacos ya Ugiriki.
 
1946 - Yonathan Netanyahu anazaliwa.

Ni kaka wa Waziri Mkuu wa sasa Israel Benjamin Netanyahu.

Alikuwa ni Kanali katika Jeshi la Ulinzi la Israel.

Alifariki katika uwanja wa kivita katika Operesheni Entebbe ndani ya Entebbe nchini Uganda, ambapo Wanajeshi wa Israel walienda kuokoa mateka Waliotekwa na Wapalestina na kugichwa Entebbe.
b019e551e0d990543531f51ebd4b8d30.jpg
a56973763cf8ce9cce03d4bab3954670.jpg
2ba6f44a86a01e8a2d4a3be816428736.jpg
 
1989 - Holger Badstuber anazaliwa.

Beki wa kati wa Bayern Munich aliyepo kwa mkopo Schakle 04 ambaye pia hucheza timu ya taifa ya Ujerumani.

Ni beki wa kati mwenye kipaji cha hali ya juu sana ila tatizo sugu la Majeruhi limemfanya ashindwe kuonesha uwezo wake.
944ef34901d5ae31b7a2c220bca86164.jpg
5699c0d6c1a2dc066dc04a1f13c3c5e3.jpg
d694571bd20f96ea654211e67f6ea3cd.jpg
1efa2399783e8159d99039b233ecb94c.jpg

Jina lake tu linaanza na nuksi{Bad...)
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom