Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
sawa baba mchungajiWacha zambi
sawa baba mchungajiWacha zambi
Kuna nn bukavu mancc😡mondray
Lala na leeMkiweka hiyo pic hamnioni mambo ya kuota usiku wengine tulala peke yetu

Ulipanda ndotoni tuHii nilishaipanda na kula maisha!!!.....![]()
Nilimwona Singidalee yupo mkoani
hahahah akitoka singida tutalala wote kama kawaidaNilimwona Singida
Lala na lee![]()
nkwei!JE WAJUA??
Barack Obama na Rais wa Indonesia wanafanana kama mapacha/ndugu

Hahahaha Werasson huoni walivyo tofauti jamani...au macho yangu na maelezo nayo yanaonesha wako tofauti sana kimaumbile mimi ndio ninavyoona je wewe unaonaje mkuu?Ni mu-heavy kwa nyanja gani?
JE WAJUA??
Mwalimu nyerere aliwahi kuibiwa fimbo yake mkoani kigoma katika eneo la Gungu
Halafu???Hakuna lisilowezekana kwa Mungu
Akaikuta ipo ikulu, akaulani ule mtaa.Halafu???
Usalama hapo wa kudumu kweli halitaanguka siku moja?nahisi hatari
Hahaahaha Kigoma mweeh!hicho kifimbo kilikua hakichukuliki waliwezaje?
Duniani wawiliwawili
Though hakufanikiwa! I guessJE WAJUA??
Masaa machach kabla ya kifo cha Albert Einstein alikua bado ana prove "Theory of Everything"
Alifanikiwa mkuu. Genius level advanceThough hakufanikiwa! I guess