Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
lee empire weka picha yoyote ya mtu aliyekufa ndani ya kaburinajua na nitakuka pia lkn ndio nakiogopa
lee empire weka picha yoyote ya mtu aliyekufa ndani ya kaburinajua na nitakuka pia lkn ndio nakiogopa
Nakwambia amenishinda tabiahahahah Babu mzee wa totoz![]()
Mkiweka hiyo pic hamnioni mambo ya kuota usiku wengine tulala peke yetulee empire weka picha yoyote ya mtu aliyekufa ndani ya kaburi
JE WAJUA??
Unapo piga chafya kila kila shughuli ya ndani ya mwili husimama (Metabolism Activities), hadi moyo husimama kwa muda
Hahaaaa lee si utakua nae chumbaniMkiweka hiyo pic hamnioni mambo ya kuota usiku wengine tulala peke yetu
lee yupo mkoaniHahaaaa lee si utakua nae chumbani
Atakujia usingizinilee yupo mkoani
Na utakufa tumm mmojawapo naogopa sana kufa
JE WAJUA??
Kuna meli (Cruise Ship) inayoitwa "The wold" ambayo kuna watu wanao ishi ndani daima kama makazi yao huku ikisafiri duniani kote
najua nitakufa tu lkn ndio naogopaNa utakufa tu
Mi naogopa maradhi yanayotesa km kansa,ukimwi,kiharusi n.k
Kufa siogopi sababu ni kitu cha lazima isipokuwa naogopa kuteswa na magonjwa tu
....
Mkiweka hiyo pic hamnioni mambo ya kuota usiku wengine tulala peke yetu
Hakukamatwa, alikamatwa mmoja tu, nadhani hakupigwa sababu ya vyombo vya Habari!!!Ahsante ila mm naona alikamatwa kama askali hakuamua kumpotezea
MmmmhMkiweka hiyo pic hamnioni mambo ya kuota usiku wengine tulala peke yetu
Eti ukishazikwa wamekufukia MUNGU anakuamsha, unaanza kupambana na maudongo yaliyo kufinya + joto duuuuh Shunie kazi unayoNa utakufa tu
Mi naogopa maradhi yanayotesa km kansa,ukimwi,kiharusi n.k
Kufa siogopi sababu ni kitu cha lazima isipokuwa naogopa kuteswa na magonjwa tu
....
Na ndotoniAtakujia usingizini