Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaaa! Kwani uongo?
Lazima ugandamizwe...! Pumzi yenyewe ni ya shidaaaa balaaa...

Afu vifunza, panya na minyoo wale wa kwenye udongo ndo waanza kukula sasa...

Nasikia huwa wanaingilia masikioni...kwenye kitovu n.k..
Hahaaaa umeua mkuu, ila sikupatii picha wakati umetiwa pamba masikioni na mmapua huku ukiwa umefunga macho. Nakuambia kwaheri transcend umeniachia clkey na jf. Duuh Transcend anafukiwa na maudongo yanamuingia mdomoni anavimba tumbo then linapasuka, minyoo, funza na bacteria zinamkula. Daah transcend maskini
 
Hahaaaa umeua mkuu, ila sikupatii picha wakati umetiwa pamba masikioni na mmapua huku ukiwa umefunga macho. Nakuambia kwaheri transcend umeniachia clkey na jf. Duuh Transcend anafukiwa na maudongo yanamuingia mdomoni anavimba tumbo then linapasuka, minyoo, funza na bacteria zinamkula. Daah transcend maskini
Hahahaaa! Unataka kununua kesi..? Hebu turudi kule kwa paprika kwanza...whats going on
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom