Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Ahsante sana mkuu hauna kapicha kakeHakukamatwa, alikamatwa mmoja tu, nadhani hakupigwa sababu ya vyombo vya Habari!!!
Ahsante sana mkuu hauna kapicha kakeHakukamatwa, alikamatwa mmoja tu, nadhani hakupigwa sababu ya vyombo vya Habari!!!
JE WAJUA??
Mtengenezaji wa smiley face symbol Harvey Ball alilipwa Dollar 45 tu kwa ubunifu wake
acha hizo story mondrayEti ukishazikwa wamekufukia MUNGU anakuamsha, unaanza kupambana na maudongo yaliyo kufinya + joto duuuuh Shunie kazi unayo
hivi ndotoni nakua nakuota tu kama tupo woteNa ndotoni
nini sasa we si upo mkoaniMmmmh
Ninachoamini ukifa umekufa na siyo habari maana tumezoea kuchinja kuku(kuwaua) na kula hivyo nasmini kaburini hakuna lolote la maana na hata jehanamu ni stori za kutishana tuEti ukishazikwa wamekufukia MUNGU anakuamsha, unaanza kupambana na maudongo yaliyo kufinya + joto duuuuh Shunie kazi unayo
Hua sipend ligi mm niliamua tu kukuachia ujidai namfuata kimya kimya

Hahaaaaa duu haya bwanaacha hizo story mondray
JE WAJUA??
Barack Obama na Rais wa Indonesia wanafanana kama mapacha/ndugu
Point zako fikirishi mkuu ila hukumu na MUNGU yupoNinachoamini ukifa umekufa na siyo habari maana tumezoea kuchinja kuku(kuwaua) na kula hivyo nasmini kaburini hakuna lolote la maana na hata jehanamu ni stori za kutishana tu
Katika maisha yangu yote huwa sipendi kumfanyia mtu jambo baya kamwe siyo kwamba naogopa sijui mnaita dhambi ila tu sipnagi faida ya roho mbaya
.....
Kila mtu na imani zake na ana Uhuru kusimamia anachoamini ilimradi havunji shetia wala kubughudhi MTUPoint zako fikirishi mkuu ila hukumu na MUNGU yupo
JE WAJUA??
Mwalimu nyerere aliwahi kuibiwa fimbo yake mkoani kigoma katika eneo la Gungu
Nimekuelewa mkuuKila mtu na imani zake na ana Uhuru kusimamia anachoamini ilimradi havunji shetia wala kubughudhi MTU
Kumbuka Kila mtu na kaburi lake
....