Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio kweli
Wapo wengi tu uhuzunika kinafiki...siyo kila kifo cha mtu kinahuzunisha mfano kuna misiba mingi huwa hainiumi na hata kuzika nazika huku moyoni nikiwa na furaha....
.Hivyo hata kifo chako au changu hakiwezi kuhuzunisha wala kuumiza watu wote ndiyo maana kuna usemi wa Kufa kufaana
.....
Ni mawazo yangu na ninaheshimu ya kwako pia...mimi siwezi kufurahia kifo cha mtu
 
950a4425273ac57230e347fec7d08ba7.jpg

Nawatakia siku njema
.....
Hakika
 
Binadamu tunatofautiana hisia ndio maana wengine mnaogopa kuingia mochwari wakati wengine tunachukulia kaeaida tu

........
Kweli Mkuu ila utaogopa kama hujawahi fiwa Mkuu lakini kunawakati woga unaishaaa!Na mochuari utaingia tu.unapoendelea kuishi hakika unakutana Na mengi Na unajifunza mengi mnoo,Ubarikiwe Mkuu Bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom