fansureboy
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 271
- 320
Natamani kujua kama alikamatwa alipata kipigo cha aina gani mana jamaaa wa nyuma anaonekana anahasira hatari![]()
Utawala wa Sizonje
![]()
![]()
![]()
......
Natamani kujua kama alikamatwa alipata kipigo cha aina gani mana jamaaa wa nyuma anaonekana anahasira hatari![]()
Utawala wa Sizonje
![]()
![]()
![]()
......
Hahaha...De Jong mtu mbaya sana.![]()
![]()
![]()
![]()
Shikamoo De Jong
Nakumbuka tu teke lake Fainali World Cup v Spain
....
Karibu! Though i will be back soonDuuh sikujua kabisa aisee
![]()
Utawala wa Sizonje
![]()
![]()
![]()
......
Nitakufata hata kwa kuogelea maana sio mbali kutoka nilipoKaribu! Though i will be back soon
OGHilo si toi
Kama ni Og basi bado tupo miaka ya 42 sio kwa bunduki hiyo
Asante sana mkuuKaribu mkuu
Sijajua kilichoendelea ila hapo inaonesha wazi dogo yupo vizuri kwa mbioNatamani kujua kama alikamatwa alipata kipigo cha aina gani mana jamaaa wa nyuma anaonekana anahasira hatari
Mkuu una uhakika hajakamatwa kweli??Sijajua kilichoendelea ila hapo inaonesha wazi dogo yupo vizuri kwa mbio
Kumbuka hilo rika mtu unakuwa fiti kiafya sidhani km alikamatwa
......
Wapi nimeandika nina uhakika? Si nimesema sijui kilichoendelea...uwe unasoma kwa makini kabla hujauliza swali maana samtaimu unauliza jibuMkuu una uhakika hajakamatwa kweli??
Ahsante ila mm naona alikamatwa kama askali hakuamua kumpotezeaWapi nimeandika nina uhakika? Si nimesema sijui kilichoendelea...uwe unasoma kwa makini kabla hujauliza swali maana samtaimu unauliza jibu
....
Karibu mkuuNitakufata hata kwa kuogelea maana sio mbali kutoka nilipo
Ukirudi panda meli shukia K mjini nitakufuataKaribu mkuu
Sawa mkuu!Ukirudi panda meli shukia K mjini nitakufuata
Mkuu kwemaa??
Ulivojinyakulia jimbo ukapotea maxims??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
