Makapuku Forum

Makapuku Forum

950a4425273ac57230e347fec7d08ba7.jpg

Nawatakia siku njema
.....
 
Leo Katika Historia:

1985 - Wimbo wa " We are the World " yaachiwa kwa mara ya kwanza huko Marekani.

Wimbo huo maarufu uliandikwa na Michael Jackson na Lionel Richie.
Producer alikuwa Quincy Jones.

Baadhi ya wasanii walioshiriki ni Micjael Jackson, Janet Jackson, Lionel Richie, Kenny Rogers, Steve Wonder, James Ingram na wengineo.

Ulikuwa ni wimbo wa hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Waafrika waliokumbwa na baa la njaa hasa Ethiopia.

Ni moja kati ya nyimbo zenye mafanikio kwani iliuza zaidi ya nakala Milioni 20.
 
Leo Katika Historia:

1985 - Wimbo wa " We are the World " yaachiwa kwa mara ya kwanza huko Marekani.

Wimbo huo maarufu uliandikwa na Michael Jackson na Lionel Richie.
Producer alikuwa Quincy Jones.

Baadhi ya wasanii walioshiriki ni Micjael Jackson, Janet Jackson, Lionel Richie, Kenny Rogers, Steve Wonder, James Ingram na wengineo.

Ulikuwa ni wimbo wa hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Waafrika waliokumbwa na baa la njaa hasa Ethiopia.

Ni moja kati ya nyimbo zenye mafanikio kwani iliuza zaidi ya nakala Milioni 20.
89f393acfaffec79ed7db08308d21747.jpg
ccd693c144b4a567646697c7580799cb.jpg
68408826e8f71a6037562622e697b6c8.jpg

Mwenye video atupie
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom