Makapuku Forum

Ha ha haa
 
Leo katika Historia:

1933 - Chama cha NAZI cha Adolf Hitler chashinda uchaguzi mkuu kwa 43.9% na kuunda serikali nchini Ujerumani.

Serikali hiyo chini ya Kansela Adolf Hitler ilikuja kuea serikali ya kibabe na mkono wa chuma. ( Serikali ya Kidikteta ).
 
1990 - Danny Drinkwater anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Man Utd, ambaye kwasasa anakipiga Leicester City na timu ya taifa ya Uingereza.

Ametwaa taji la Ligi kuu Uingereza mwaka 2016 akiwa na Leicester City chini ya Jemedari Caludio Ranieri " The tinkerman "
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…