Tupo mwana mpotevu ndio umetoka chimbo saa hzMpo wakuu?
Hahahaaaa! I love you baby japo umeninunia kisa Arsenalhahahahahaha mie simo
Nakuona! Niko Zambia ila narudi soon..Paprika anahitaji mwenzake kama wewe na Quigley
Sorry Transcend![]()
![]()
![]()
![]()
Bado niko chimbo mkuu! Ila narudi soon! Shukuran nimekuta mko pouwa kama kawaidaTupo mwana mpotevu ndio umetoka chimbo saa hz
Tyupo!!!Mpo wakuu?
Yaap uwepo wako humu una umuhimu sanaBado niko chimbo mkuu! Ila narudi soon! Shukuran nimekuta mko pouwa kama kawaida
Aminia mkuu!Yaap uwepo wako humu una umuhimu sana
Nipo kalibu Bukavu niko kwa ankoMutoto ya Ndama ! Tajiri ya kinshasa upo?![]()

Umenibamba mkuu nilikua sifahamAminia mkuu!
Je wajua kuwa haya maneno yako ni post # 137880 kweye thread ya Makapuku?
kushangilia arsenal inataka moyo sana
Kushangilia Arsenal ni sawa na kubeba zigo la misumari kichwani halafu umenyoa kipara utalitupa tu![]()

Pamoja mkuu!Umenibamba mkuu nilikua sifaham
Cleative level expert
Naww pia mkuuPamoja mkuu!
Uwe na usiku mwema...!
MmmhhhMVULANA: Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?
DAKTARI: Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA: Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.
DAKTARI: Nashukuru umeelewa somo!!
AmenTuseme Amen
HahahahaMwalimu: Kama kaka yako akisomea Uhandisi utamwita brother Engineer, je dada yako akisomea Sheria utamuitaje?
Bashite: Sister in-Law!
Mwalimu: Usipobadilika utarudi Kolomije na ndala!
Wazima Mkuu za huko Na majukumu ubarikiweWazima wakuuu!!!!