Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nawaahidi nikirudi tu Joto City nitarudi humu kwa nguvu mpya
*Katuni za sani na vunja mbavu
*picha kibao za vichekesho
*Quotes
*Did you know....facts

Kaeni mkao wa kutabasamu

........
Nami nitakuunga mkono kwa nguvu zote. Safu ya mhalifu mjinga wa siku na word of encouragement kila siku (kama nilivyoanza leo hapo juu).
 
niliona nisiwape kik nkaamua nipite kimya kimya tu.
Ila kwa kuwa now nmeshapata akili za usiku hivyo muda wowote huenda nikakinukisha
0490cba87ed9d0aa33d16458346758fb.jpg
 
Nami nitakuunga mkono kwa nguvu zote. Safu ya mhalifu mjinga wa siku na word of encouragement kila siku (kama nilivyoanza leo hapo juu).
Sawa maana ni ukumbi wetu wa kuelimishana,kufurahishana,kutaniana n.k....kukiea na mambo mchanganyiko ndo panakuwa bomba km kjpindi kile
*Je wajua Jambilo
*Top 10 Sczesny
*Nagazeti Jimena(now yupo Lee}
*Leo ktk historia Dikteta
*Nukuu ya leo kaka'ke Lulu
*Kapuku songs/hits Dj Cobrepots
*Hadithi Kikofia
*Od is ever gold Bitterpie
*Vina/mistari Makaveli

*Mimi nilikuwa naleta update za soka,fix n.k{Ndani ya week hii narudi kmkawa}

Yaani kipindi hicho KF ilikuwa inatafutwa zaidi ya Faru John

.......
 
Sawa maana ni ukumbi wetu wa kuelimishana,kufurahishana,kutaniana n.k....kukiea na mambo mchanganyiko ndo panakuwa bomba km kjpindi kile
*Je wajua Jambilo
*Top 10 Sczesny
*Nagazeti Jimena(now yupo Lee}
*Leo ktk historia Dikteta
*Nukuu ya leo kaka'ke Lulu
*Kapuku songs/hits Dj Cobrepots
*Hadithi Kikofia
*Od is ever gold Bitterpie
*Vina/mistari Makaveli

*Mimi nilikuwa naleta update za soka,fix n.k{Ndani ya week hii narudi kmkawa}

Yaani kipindi hicho KF ilikuwa inatafutwa zaidi ya Faru John

.......
Kitarudi tu
 
Sawa maana ni ukumbi wetu wa kuelimishana,kufurahishana,kutaniana n.k....kukiea na mambo mchanganyiko ndo panakuwa bomba km kjpindi kile
*Je wajua Jambilo
*Top 10 Sczesny
*Nagazeti Jimena(now yupo Lee}
*Leo ktk historia Dikteta
*Nukuu ya leo kaka'ke Lulu
*Kapuku songs/hits Dj Cobrepots
*Hadithi Kikofia
*Od is ever gold Bitterpie
*Vina/mistari Makaveli

*Mimi nilikuwa naleta update za soka,fix n.k{Ndani ya week hii narudi kmkawa}

Yaani kipindi hicho KF ilikuwa inatafutwa zaidi ya Faru John

.......
 
*Sintakaa nisahau siku nilipoenda ibada katika kanisa la walokole*,
*Siku hiyo nilisinzia wakati mchungaji anatoa mahubiri jirani yangu akanigusa "ndugu amka" ile nashtuka nikamsikia mchungaji akisema "simama" mi nikasimama fasta fasta nikasikia kanisa zima wanapiga makofi mchungaji akasema ahsante sana kwa mtumishi, aya nani mwingine anaetoa mchango milion 2 kwaajili ya ujenzi wa kanisa asimamee, nakuambia nilizimia *
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom