Sawa maana ni ukumbi wetu wa kuelimishana,kufurahishana,kutaniana n.k....kukiea na mambo mchanganyiko ndo panakuwa bomba km kjpindi kile
*Je wajua[emoji117] Jambilo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
*Top 10[emoji117] Sczesny
*Nagazeti[emoji117] Jimena(now yupo Lee}
*Leo ktk historia[emoji117] Dikteta
*Nukuu ya leo[emoji117] kaka'ke Lulu
*Kapuku songs/hits[emoji117] Dj Cobrepots
*Hadithi[emoji117] Kikofia
*Od is ever gold[emoji117] Bitterpie
*Vina/mistari[emoji117] Makaveli
*Mimi nilikuwa naleta update za soka,fix n.k{Ndani ya week hii narudi kmkawa}
Yaani kipindi hicho KF ilikuwa inatafutwa zaidi ya Faru John
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......