Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hata mimi niliyapokea kwa mikono miwili. kwa soka la jana Spurs walinifanya nisahau kidogo hotuba ile ya Kagera
f84e50f4cebb91b7341d8c45b8b8def4.jpg

Jogoo kachana blauz
........
 
Leo katika historia :amezalia mr comedian Bean

Mr. Bean ambaye jina lake halisi ni Rowan Sebastian Atkinson, ni mwigizaji mashuhuri Mwingereza ambaye amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na kuigiza filamu za komedi.

Akiwa amezaliwa Januari 6, 1955 na kushiriki kwenye filamu mbalimbali ikiwamo za ucheshi za Mr. Bean na Blackadder, Atkinson amekuwa tajiri mkubwa miongoni mwa waigizaji wa komedi na kuwa na pato linalokadiriwa kuwa la Dola 130 milioni. Umahiri wa filamu zake za komedi ndizo zinazofanya ziendelee kupendwa hadi sasa na hivyo kumwingizia pesa.(P.T)
 
Leo katika historia :amezalia mr comedian Bean

Mr. Bean ambaye jina lake halisi ni Rowan Sebastian Atkinson, ni mwigizaji mashuhuri Mwingereza ambaye amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na kuigiza filamu za komedi.

Akiwa amezaliwa Januari 6, 1955 na kushiriki kwenye filamu mbalimbali ikiwamo za ucheshi za Mr. Bean na Blackadder, Atkinson amekuwa tajiri mkubwa miongoni mwa waigizaji wa komedi na kuwa na pato linalokadiriwa kuwa la Dola 130 milioni. Umahiri wa filamu zake za komedi ndizo zinazofanya ziendelee kupendwa hadi sasa na hivyo kumwingizia pesa.(P.T)
Sipendagi upumbavu wake
 
Leo katika historia :amezalia mr comedian Bean

Mr. Bean ambaye jina lake halisi ni Rowan Sebastian Atkinson, ni mwigizaji mashuhuri Mwingereza ambaye amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na kuigiza filamu za komedi.

Akiwa amezaliwa Januari 6, 1955 na kushiriki kwenye filamu mbalimbali ikiwamo za ucheshi za Mr. Bean na Blackadder, Atkinson amekuwa tajiri mkubwa miongoni mwa waigizaji wa komedi na kuwa na pato linalokadiriwa kuwa la Dola 130 milioni. Umahiri wa filamu zake za komedi ndizo zinazofanya ziendelee kupendwa hadi sasa na hivyo kumwingizia pesa.(P.T)
Huyu jamaa ni Profesa wa Uhandisi Umeme! Dah ama kweli kipaji hakizuhiliki yaani huwezi kugundua kwamba jamaa kabukua namna hiyo!
 
Huyu jamaa ni Profesa wa Uhandisi Umeme! Dah ama kweli kipaji hakizuhiliki yaani huwezi kugundua kwamba jamaa kabukua namna hiyo!
Ulatya elimu bure na siyo ya kupigana panga km Bongo
Usishangae hata wanasoka ni wasomi
Mfano Michael Owen nafikiri ana Masters degree
........
 
*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :hashi jiku mishihe*
*Husband: inamoto kushini hat a pi*
*Wife: jejeta takuna mota shinita*
*Husband: kituya sitina kutara*.
*Wife: totori yatika miniya*



*kapuku ulivyo busy kusoma utadhani unaelewa kijapan kuwaga serious saa zingine*

 
LEO KATIKA HISTORIA: 1936: Barbara Hanley alichaguliwa kuwa meya wa mji wa Webbwood nchini Canada. Henley ambaye awali alikuwa akifanya kazi ya ualimu alivunja rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nyadhifa hiyo katika historia ya taifa Canada.
446b28105a70dd9d81585092ce162d8f.jpg
 
LEO KATIKA HISTORIA: 1986: Michael Heseltine alijiuzulu nyadhifa ya ukatibu mkuu wa idara ya ulinzi nchini Uingereza baada ya kutofautia kimtazamo na waziri wake. Heseltine alipinga uamzi wa wizara kusitisha matumizi ya silaha za nyuklia.
296d6b8465057124d21598b1c733eb53.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom