Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Pamoja sana mkuuAsante kwa magazeti ya leo mkuu Lee
Pamoja sana mkuuAsante kwa magazeti ya leo mkuu Lee
Mishughuliko kama weweWatu wameenda wapi??
[emoji1] [emoji1]Hata mimi niliyapokea kwa mikono miwili. kwa soka la jana Spurs walinifanya nisahau kidogo hotuba ile ya Kagera
Sidhani!.....labda waje wapya, ila wale na hawa kurudi na kulisongesha vile sio rahisi 7bu ya majukumu.Ila ...one day watarudi...
GoodmorningGood morning
MorningGoodmorning family
[emoji4] Karibu ndani, hatujambow!Hodi hodi humu ndani... Hamjambo humu?
[emoji1] lengo zuri coz kaacha uzinziHaya ndio malengo ya dada yetu wa Kiafrika kwa mwaka 2017
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji1] lengo zuri coz kaacha uzinzi
Uko poa lakin mukongo ?? Unasalimiwa sana na mama Bite [emoji4] [emoji4] [emoji4]lee Ahsante kwa magazeti
Niko poa ndugu lee, Mama Bite ni nani?[emoji1]Uko poa lakin mukongo ?? Unasalimiwa sana na mama Bite [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Utamjua [emoji4] [emoji4] [emoji4] mkakati 0034 hujaipatia time ...Niko poa ndugu lee, Mama Bite ni nani?[emoji1]
Aah! We acha tu ndugu yangu, .....Bado asee.....em ngoja niende saivi[emoji125]Utamjua [emoji4] [emoji4] [emoji4] mkakati 0034 hujaipatia time ...
Ebu patembelee kama una Mda sijui na mama Bite(shunie ) kama ashapatembeleaAah! We acha tu ndugu yangu, .....Bado asee.....em ngoja niende saivi[emoji125]
Zaidi ya dawaKama kawa...[emoji2] [emoji2]