Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Pamoja sana mkuuAsante kwa magazeti ya leo mkuu Lee
Pamoja sana mkuuAsante kwa magazeti ya leo mkuu Lee
Mishughuliko kama weweWatu wameenda wapi??
Hata mimi niliyapokea kwa mikono miwili. kwa soka la jana Spurs walinifanya nisahau kidogo hotuba ile ya Kagera

Sidhani!.....labda waje wapya, ila wale na hawa kurudi na kulisongesha vile sio rahisi 7bu ya majukumu.Ila ...one day watarudi...
GoodmorningGood morning
MorningGoodmorning family
Hodi hodi humu ndani... Hamjambo humu?
Karibu ndani, hatujambow!Haya ndio malengo ya dada yetu wa Kiafrika kwa mwaka 2017
![]()
lengo zuri coz kaacha uzinzi
Uko poa lakin mukongo ?? Unasalimiwa sana na mama Bitelee Ahsante kwa magazeti

Niko poa ndugu lee, Mama Bite ni nani?Uko poa lakin mukongo ?? Unasalimiwa sana na mama Bite![]()
![]()
![]()

UtamjuaNiko poa ndugu lee, Mama Bite ni nani?![]()
mkakati 0034 hujaipatia time ...Aah! We acha tu ndugu yangu, .....Bado asee.....em ngoja niende saiviUtamjua![]()
![]()
mkakati 0034 hujaipatia time ...

Ebu patembelee kama una Mda sijui na mama Bite(shunie ) kama ashapatembeleaAah! We acha tu ndugu yangu, .....Bado asee.....em ngoja niende saivi![]()