HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,926
- 6,669
Rahisi na spidi ilotukukaHaaaaa...ofa ya mb ya VODA ctaki.. ntabanana na hallotell kifurush cha chuo![]()
Rahisi na spidi ilotukukaHaaaaa...ofa ya mb ya VODA ctaki.. ntabanana na hallotell kifurush cha chuo![]()
majukwaa ya wakubwa ndo yapi hayo?Afadhali chitchat mnaitendea haki, ili mkija kwenye majukwaa serious kusiwe na childish behavior.
Blog ni rahisi zaidi kutengeneza, what i mean mtu mwenye uwezo wa kutengeneza website blog ni jambo dogo kwake.Safi sana mkuu, vp blog
mkuu umenena vyema sanaKama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-
- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc
Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
Blog ndio bure mkuu.. unawez sema hata hosting yake ni bureKuhost pia ni bure?
Poa mkuu ila usije ukajikuta tu inapelekea uvunje sheria za nchi
kwani sheria sizimewekwa ili zivunjwe mkuu?Mkuu si unajua ni wikend hii... Itakua katulizwa sehem anakula tu maishaJimena karudi😳🙄😳
Hayo ndo mambo ya maana mkuu nitakupigiaBlog pia nafanya gharama kuanzia bure.. pia natengeneza mobile apps.. domain registration na hosting
Jifunze kusoma na kuelewa, Chitchat ndio jukwaa sahihi kwa porojo zote, na jukwaa la wakubwa lipo moja tu access anatowa Invisible, ila jukwaa kama la siasa ni makosa kuleta porojo kule kuna Top seniors wa nchi tupo nao kule na ndio source ya habari kwa media za Bongo.majukwaa ya wakubwa ndo yapi hayo?
Unachelewa shem nasubirMko tayar nilete maujuz au ntawaboa???
Nasubiria hayo maujuzi though cpo Dsm ila naweza nikaaply nilipoHaya kapuku's family
Leo nipo kipesa zaidi kwa vijana wenzangu hasa waliopo Dar wasio na ajira hata wenye ajira pia...
May is approaching
Kwa wanopenda kilimo cha matunda ya muda mfupi hasa matikiti maji....
Narud sio muda kumwaga maujuuziiiii
Naipenda sana Manchester city![]()
Blauz inazidi kuchanika
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......................
Tuonane pm mkuuBlog ndio bure mkuu.. unawez sema hata hosting yake ni bure
Karibu sana nitafurahi tufanye kazi mkuu 0769338868Hayo ndo mambo ya maana mkuu nitakupigia
Hebu twende taratibu, kila safari haikosi wakubwa, hebu nenda jukwaa la Ujasiliamali ili uone hicho unachotaka kushare hapa kipo kule jukwaa husika au hakipo?Mko tayar nilete maujuz au ntawaboa???
Matola huko nashinda kila Siku...ila sio vibaya nikiwashirikisha wenzangu hapa ili kama kuna MTU hajawah kwenda Kule apate pa kuanzia...Hebu twende taratibu, kila safari haikosi wakubwa, hebu nenda jukwaa la Ujasiliamali ili uone hicho unachotaka kushare hapa kipo kule jukwaa husika au hakipo?
Inawezekana bado mnaunderestimate the power of JF, hapa jipya labda mtu aje na picha aliyopiga selfie mbinguni.