Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
NakuonaNipo
NakuonaNipo
Siku moja tuchambue zama za kina Zidane na zama hizi za Messi na CR7NINYIME VYOTE LAKINI SIO SOKA NA DOCUMENTARIES
Nzuri sana ndugu yangu . Nafurah kuona bado mnasogeza gurudumu la kfNawe pia amaizing, za siku
Tena mchambue kama karangaSiku moja tuchambue zama za kina Zidane na zama hizi za Messi na CR7

Sawa mkuu, lakini mimi mpaka leo sijawahi pata jaibu kamili nani alikuwa bora kati ya Zidane na Gaucho?Siku moja tuchambue zama za kina Zidane na zama hizi za Messi na CR7
Zidane na Raul ilikuwa bonge la combinationSiku moja tuchambue zama za kina Zidane na zama hizi za Messi na CR7
R I P Arafat2004 - Yasser Arafat anafariki Dunia.
Alikuwa ni kiongozi wa Mamlaka ya Palenstina.
Asante kwa historia mwenyekitiLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Philip Lahm niwatakie jioni njema.
Ulivyotaja hilo jina ndio umenikumbusha yule mdau (pembe tatu duara) nimeshaanza kummiss sasaTena mchambue kama karanga![]()
Top Ten Writters/Authors of All time.
1.William Shakespeare;
(Aprili 1564 - 23 Aprili 1616) alikuwa mwandishi mashuhuri nchini Uingereza.
Waingereza mara nyingi humtazama kuwa mwandishi mkuu wa lugha yao. Aliandika hasa maigizo na tamthiliya. Alifanya pia kazi ya uigizaji.
Mwandishi huyo akiwa mdogo alikuwa anapenda kusoma sana hadithi mbalimbali ambazo zilikuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kilatini. Shakespear alisoma zaidi kazi za wanafalsafa wakongwe wa Kigiriki Aristotle na Plato, pia alipenda sana teolojia.
Maigizo yake hupangwa katika vikundi vya:
Kutokana na wingi wa kazi na mada, wataalamu wengine hawakubali ya kwamba maandiko yote yanayojulikana kama ya "Shakespear" yameandikwa na mtu yeye yule, lakini walio wengi wameridhika ya kwamba huyu Shekespear wa kihistoria mwenyewe alikuwa mwandishi wa hayo yote.
Kati ya maandiko yake mashuhuri ni kama:
Michezo Tanzia
Tamthiliya za Kuchekesha
Tamthiliya za Kihistoria
[/URL]
- [URL='https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Richard_III_%28tamthiliya%29&action=edit&redlink=1']Richard III
Mchezo tanzia "Julius Caesar" pamoja na tamthiliya ya kuchekesha "The Merchant of Venice" vimetafsiriwa na Mwalimu Julius Nyerere kwa lugha ya Kiswahili ("Julius Kaisari" na "Mabepari wa Venisi")