Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Senks brazaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Philip Lahm niwatakie jioni njema.
Senks brazaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Philip Lahm niwatakie jioni njema.
1990 - Georginio Wijnaldum anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Fayernood, Newcastle ambaye kwasasa anakipiga Liverpool na timu ya taifa ya Uholanzi.
1988 - Kyle Naughton anazaliwa.
Beki wa kulia wa Swansea kutoka nchini Uingereza.
Pia aliwahi kukipiga Tottenham.
1983 - Philip Lahm anazaliwa.
Beki wa kulia wa klabu ya Bayern Munich.
Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2014 akiwa nahodha wa Ujerumani.
Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya mwaka 2013 akiwa na klabu yake ya Bayern.
Ni zao la akademi ya Bayern Munich na hajawahi kuhama klabu.
Mmoja kati ya wachezaji wachache wenye nidhamu ya hali ya juu kwani hajawahi kabisa kupewa kadi nyekundu licha ya kucheza kwenye idara ya Ulinzi.
Kwangu mimi huyu ni shujaa asiyeimbwa kwani amekuwa nyuma ya mafanikio ya klabu na timu yake ya taifa, hapewi sifa anazostahili. ( He is so underrated )
1983 - Arouna Kone anazaliwa.
Straika wa zamani wa Wigan na timu ya taifa ya Ivory Coast ambaye kwasasa anakipiga Everton.
Naona leo siku ya Playerz tena.1977 - Maniche anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Porto, Chelsea, Benfica, Inter Milan, Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ureno.
Alitwaa taji la ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2004 akiwa na Porto ya Mourinho.
1974 - Leonardo Dicaprio anazaliwa.
Ni msanii wa movie toka nchini Marekani, moja kati ya movie zake ni Titanic na Blood Diamond.
Wachache sana. Mtu kama Gary Lineker hakuwahi kupewa hata yellow kadi. Kwa kifupi hakuwahi kupewa kadi yoyote enzi anacheza.No red card!!!
![]()
Senki yuu tu.
2004 - Yasser Arafat anafariki Dunia.
Alikuwa ni kiongozi wa Mamlaka ya Palenstina.
Leo katika Historia:
1918 - Vita kuu ya kwanza ya Dunia yamalizika rasmi kwa Ujerumani kushindwa vita hiyo.
Naomba mumwingize kwenye Guinness book of recordWachache sana. Mtu kama Gary Lineker hakuwahi kupewa hata yellow kadi. Kwa kifupi hakuwahi kupewa kadi yoyote enzi anacheza.

Kwa striker siyo kesi labda uwe Mkorofikorofi/mbabeWachache sana. Mtu kama Gary Lineker hakuwahi kupewa hata yellow kadi. Kwa kifupi hakuwahi kupewa kadi yoyote enzi anacheza.
Hata hivyo ni mvumilivu ndugu yangu mwone Diego CostaKwa striker siyo kesi labda uwe Mkorofikorofi/mbabe
..........

sawa mkuu.Naomba mumwingize kwenye Guinness book of record![]()
Pamoja na yote hayo, hata kama ni straika yaani usipewe hata njanoKwa striker siyo kesi labda uwe Mkorofikorofi/mbabe
..........
Hata hivyo ni mvumilivu ndugu yangu mwone Diego Costa![]()
Maajabu sanaPamoja na yote hayo, hata kama ni straika yaani usipewe hata njano
Gigs pia hajawahi kupewa red cardWachache sana. Mtu kama Gary Lineker hakuwahi kupewa hata yellow kadi. Kwa kifupi hakuwahi kupewa kadi yoyote enzi anacheza.