Makapuku Forum

Makapuku Forum

- Leo ni Remembrance Day huko Uingereza.

Ni siku ya kuwakumbuka mashujaa wote waliopoteza uhai wao vitani kwa ajili ya nchi yao.

Wanakumbukwa wanajeshi wote waliopoteza uhai wao katika uwanja wa mapambano, Wale waliopotea na kutojulikana walipo toka katika uwanja wa kivita (Missing In Action ) kuanzia vita kuu ya kwanza ya Dunia.

Waingereza huvaa maua ya poppy katika kuwaenzi na ibada ya kuwakumbuka itafanyika jumapili hii.
 
- Leo ni Remembrance Day huko Uingereza.

Ni siku ya kuwakumbuka mashujaa wote waliopoteza uhai wao vitani kwa ajili ya nchi yao.

Wanakumbukwa wanajeshi wote waliopoteza uhai wao katika uwanja wa mapambano, Wale waliopotea na kutojulikana walipo toka katika uwanja wa kivita (Missing In Action ) kuanzia vita kuu ya kwanza ya Dunia.

Waingereza huvaa maua ya poppy katika kuwaenzi na ibada ya kuwakumbuka itafanyika jumapili hii.
aa20b5217517cb8cc5cd3f7bc6306650.jpg
51a123524e7c22439d907728a50a5c23.jpg

Wachezaji 15 wa Man Utd walifia vitani
......
 
1983 - Philip Lahm anazaliwa.

Beki wa kulia wa klabu ya Bayern Munich.

Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2014 akiwa nahodha wa Ujerumani.

Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya mwaka 2013 akiwa na klabu yake ya Bayern.

Ni zao la akademi ya Bayern Munich na hajawahi kuhama klabu.

Mmoja kati ya wachezaji wachache wenye nidhamu ya hali ya juu kwani hajawahi kabisa kupewa kadi nyekundu licha ya kucheza kwenye idara ya Ulinzi.

Kwangu mimi huyu ni shujaa asiyeimbwa kwani amekuwa nyuma ya mafanikio ya klabu na timu yake ya taifa, hapewi sifa anazostahili. ( He is so underrated )
fcb5d3ceecde5bf778845aadd24e99fa.jpg
391e5a0d9ab753828355208dfe3f3b6a.jpg
 
1983 - Philip Lahm anazaliwa.

Beki wa kulia wa klabu ya Bayern Munich.

Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2014 akiwa nahodha wa Ujerumani.

Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya mwaka 2013 akiwa na klabu yake ya Bayern.

Ni zao la akademi ya Bayern Munich na hajawahi kuhama klabu.

Mmoja kati ya wachezaji wachache wenye nidhamu ya hali ya juu kwani hajawahi kabisa kupewa kadi nyekundu licha ya kucheza kwenye idara ya Ulinzi.

Kwangu mimi huyu ni shujaa asiyeimbwa kwani amekuwa nyuma ya mafanikio ya klabu na timu yake ya taifa, hapewi sifa anazostahili. ( He is so underrated )
No red card!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom