Makapuku Forum

Makapuku Forum

c4c231fcb53efe5a7eb8552ed2dedae5.jpg

The Blauz

......................
Nilisema blauz lazima wakae
 
Kuhusu Hiyo thread ya matabaka kuna maneno ya dharau na kejeli mnooo kuhusu kapuku.

Tunatukana kwamba ni wanuka mkojo

Hatuna kazi ya kufanya.

Tunakesha humu....

Na maneno mengi ya kejeli.


Ninachoweza kusema ni kwambafungua Uzi ile ni id fake. Yule ni mkongwe. Tena ni maarufu.


Hamna haja ya kwenda kujibishana. Ni kuwapa promo....


Kapuku let's stay focused. Our agenda was not to isolate but to find unit and solidarity

Dhana nzima ya kapuku forum sio kujitenga ila kuwa pamoja na kupeana support.

Hamna mkomgwe aliye dharauliwa. Ila wakongwe lazima wawaheshim vijana wapya...and vice versa.


One love kapuku......

Kwa vile post zetu zilikuwa hazithaminiwi...

Ni wakati sasa Wa kuzipa support post au koments
Za kapuku na wakongwe pia.....


Naamini kapuku forum haipo kwa ajili ya isolation but its for unifying the lower....

Cc Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
damtanzania
youngblood
amaizing
cute b
mshana jr
EMMYGUY
peterchoka
Lizzy
@sizzy007
Linamo
manuu


Na kapuku wenginee woote.....
wale wajinga wamenikera sema basi ngoja nilale zangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom