Makapuku Forum

Kwa upande wangu sioni tatizo kwa makapuku kuungana na kufungua thread yao

Kule hawatukani MTU ni kuchati na kupeana ushauri wa maisha ..

Na member yoyote haijalishi ni junior member au senior anaruhusiwa kuchangia Kule...

Hivyo kusema kuwa makapuku wamejitenga sio kweliiiii.....
Karibun kapuku forum

NB...sio wote walioko kapuku forum ni watoto kama baadhi ya members wanavyodai..wengine tupo kule kwa ajil ya stories na kuondoa stress....
 
Washaanza kutia fitna huko..watakufa na chuki.zao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…