*Looku Looku* [emoji102][emoji102]
*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii....!!*
*Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.*
*_Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE._*
*Mwalimu alisonya na kuondoka.*[emoji57][emoji57][emoji57][emoji19][emoji19]
*Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa*[emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji119][emoji119] *Mniache Tuu Mimi Sio Kwa Bifu Ilo Aiseee*[emoji125]