Makapuku Forum

Makapuku Forum

CulZy-YWcAAz04M.jpg
Duuuh
 
Nafurahi kuzaliwa siku moja na
Usher Raymond
Mathew Le Tissier
Louren mzee wa Polo
Ahmed Musa japo simuamini maana waafrika kwa kufoji

Nasikitika kuwa siku mbaya kwa Mwalimu JK Nyerere na Bruno Metsu

Nawashukuru wote milioniwish na Mungu awabaeiki
Makapuku Forum imenikutanisha na watu wazuri....naomba tuendeleze umoja wetu
Tuvumiliane madhaifu yetu
NB:
Nathamini wishez zenu wote lakini kwa bahati mbaya siwezi kujibu zote kutokana na kasi ya thread
One Love
...............
.........................
Two loves. .... Heri ya skuzaliwa siku ya mwisho ya mwl
 
Back
Top Bottom