Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
wanapendasifa,nilicheka sana maoni ya watu kwenye ule uziThread yenyewe ishavutwa
Inaonekana wakongwe hupenda kusifiwa wao tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
wanapendasifa,nilicheka sana maoni ya watu kwenye ule uziThread yenyewe ishavutwa
Inaonekana wakongwe hupenda kusifiwa wao tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
TUpooojamani humu mbona hakuna watu
Mkuu uwe na maisha mema, na uzeeke vizuriNashukuru mkuu
Nahisi umeleta vifaa bya Mlimani City
....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usivimbe bichwa sasa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Mkwepa kodi yeye anawaza kitwanga tu
Ya juaWapo wengi, wewe upo sayari gani
Wew sio ntu?jamani humu mbona hakuna watu
aah mmekujaWew sio ntu?
Uunamfahamu @jambilo??Duuuh
Atakuwa ni jambiloWew sio ntu?
Two loves. .... Heri ya skuzaliwa siku ya mwisho ya mwlNafurahi kuzaliwa siku moja na
Usher Raymond
Mathew Le Tissier
Louren mzee wa Polo
Ahmed Musa japo simuamini maana waafrika kwa kufoji
Nasikitika kuwa siku mbaya kwa Mwalimu JK Nyerere na Bruno Metsu
Nawashukuru wote milioniwish na Mungu awabaeiki
Makapuku Forum imenikutanisha na watu wazuri....naomba tuendeleze umoja wetu
Tuvumiliane madhaifu yetu
NB:
Nathamini wishez zenu wote lakini kwa bahati mbaya siwezi kujibu zote kutokana na kasi ya thread
One Love
...............
.........................
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Atakuwa ni jambilo
[emoji15] namuona Bob Marleytikisa simu au kichwa
![]()
Tulikuwa tunapata dinnerjamani humu mbona hakuna watu
Wewe umetikisa nini?tikisa simu au kichwa
![]()
[emoji61] thawa abandeHii picha ya kikofia umeipataje aise