Makapuku Forum

Makapuku Forum

1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.

Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.

Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
 
Leo katika Historia:

1933 - Chama cha Nazi cha Ujerumani chini ya uongozi wa Adolph Hitler chaiondoa Ujerumani kwenye Jumuiya ya Mataifa ( League of Nations ).

Hali hii ilipelekea uwepo wa taharuki kwa baadhi ya Nchi nyingine Duniani. Ilisababisha kutokea kwa vita kuu ya pili ya Dunia.
Hapo hofu lazima
 
1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.

Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.

Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
 
Leo katika Historia:

1933 - Chama cha Nazi cha Ujerumani chini ya uongozi wa Adolph Hitler chaiondoa Ujerumani kwenye Jumuiya ya Mataifa ( League of Nations ).

Hali hii ilipelekea uwepo wa taharuki kwa baadhi ya Nchi nyingine Duniani. Ilisababisha kutokea kwa vita kuu ya pili ya Dunia.
IMG_20161014_085156.jpeg
IMG_20161014_085131.jpeg
IMG_20161014_085145.jpeg

Nazism
...........
 
1981 - Makamu wa Rais wa Misri Hosni Mubarak anachaguliwa kuwa Rais wa Nchi hiyo mara baada ya kuuwawa kwa Rais Anwar Sadat.

Hosni Mubarak anakuja kukaa madarakani kwa miaka 30 kabla ya kutolewa kwa nguvu ya umma ambapo maandamano yalifanyika kila pembe ya Nchi hiyo.
 
1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.

Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.

Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
Kumbe it was real ESCAPE FROM SOBIBOR
 
1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.

Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.

Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
Huyo ndiye Hitler
 
1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.

Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.

Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
IMG_20161014_085841.jpeg
fd63eafe836efc4746b28439b10131bf.jpg
Screenshot_2016-10-14-08-56-12.png
IMG_20161014_085825.jpeg

Escape from Sobibor
.....
 
Back
Top Bottom