Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.
Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.
Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.
Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.