Natafuta mke wa pili nimfyatue hahahahahaNa ww zaa wako
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.......
RIP PABLO ESCOBER1982 - Rais wa wakati huo wa Marekani, Ronald Reagan anatangaza vita dhidi ya wauza madawa ya kulevya.
Hahahahaha kweli amekuwaHaya ushakuwa sasa hvyo hii michezo yako acha mara mojaView attachment 417811
NitakulipuaHaya nenda kaoge sasaView attachment 417828
Duh aliigiza kifoRIP PABLO ESCOBER
ronald alipgwa risas 6 ila akapona
rais muigizaj
Nafurahi kuzaliwa siku moja naLeo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.
Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.
Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
Hahahahaha kumbe shululu ni mzunguNakuona...!View attachment 417821[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi hahahahaha, safari hii secretary ataondoka kimyakimyaBOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii
tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano
fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda
na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1
week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo
safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe
tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi
wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani
hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy
wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution
wiki hii nakuja kwako.....
BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi
Serena tena coz mjukuu wangu
atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi,
huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi
next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia
mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for
the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea
kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya
Serena iko palepale......
Live longer frere BitozNafurahi kuzaliwa siku moja na
Usher Raymond
Mathew Le Tissier
Louren mzee wa Polo
Ahmed Musa japo simuamini maana waafrika kwa kufoji
Nasikitika kuwa siku mbaya kwa Mwalimu JK Nyerere na Bruno Metsu
Nawashukuru wote milioniwish na Mungu awabaeiki
Makapuku Forum imenikutanisha na watu wazuri....naomba tuendeleze umoja wetu
Tuvumiliane madhaifu yetu
NB:
Nthamini wishez zenu wote lakini kwa bahati mbaya siwezi kujibu zote kutokana na kasi ya thread
One Love
...............
.........................
Live longer frere BitozNafurahi kuzaliwa siku moja na
Usher Raymond
Mathew Le Tissier
Louren mzee wa Polo
Ahmed Musa japo simuamini maana waafrika kwa kufoji
Nasikitika kuwa siku mbaya kwa Mwalimu JK Nyerere na Bruno Metsu
Nawashukuru wote milioniwish na Mungu awabaeiki
Makapuku Forum imenikutanisha na watu wazuri....naomba tuendeleze umoja wetu
Tuvumiliane madhaifu yetu
NB:
Nthamini wishez zenu wote lakini kwa bahati mbaya siwezi kujibu zote kutokana na kasi ya thread
One Love
...............
.........................
HahahahahaHaya nenda kaoge sasaView attachment 417828
Kwema kabisa angalia na wewe wasije kukupokea piajamani humu kwema??ubize huu jamani nitakuja baadae napokea vichaa hapa mirembe
Ana mambo ya kike[emoji2] [emoji2] [emoji2]
HahahahahaUtoto acha umeshakuwa mtu mzima sasaView attachment 417830[emoji2] [emoji2] [emoji2]
hakuigiza kifo sema walitoa movie ya pablo baada ya kifoDuh aliigiza kifo
Alikufa na nini?
Hahahahaha huyo ndiyo jonax hahahahahaView attachment 417826umependeza sana aisee
Linatisha?, mbona wameshituka hivyo
Anhaahakuigiza kifo sema walitoa movie ya pablo baada ya kifo
pablo aliuawa baada ya kutaftwa sana
ila ronald alikufa miaka ya 2000 kwa ugonjwa
Safi, pole na kazi, hata humu wapo kwa mujibu wa utafitijamani humu kwema??ubize huu jamani nitakuja baadae napokea vichaa hapa mirembe