Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,606
Ngoja aje tena mimi simoAna mambo ya kike
Ngoja aje tena mimi simoAna mambo ya kike
Nitamfumua hanijui huyuNgoja aje tena mimi simo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] naona umemlenga mtuSafi, pole na kazi, hata humu wapo kwa mujibu wa utafiti
Kweli hakujui yuleNitamfumua hanijui huyu
Yule Mpuuzi ameniharibia siku, Ingekuwa kwenye jukwaa la siasa ningekuwa tayari nimepata ban[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] naona umemlenga mtu
We mwache tu shauri yakeKweli hakujui yule
Na hivi Mods wako active hakika ungemkumbuka yule bilionea mtotoYule Mpuuzi ameniharibia siku, Ingekuwa kwenye jukwaa la siasa ningekuwa tayari nimepata ban
Hahahahaha ngoja nihamie jukwaa la siasaNa hivi Mods wako active hakika ungemkumbuka yule bilionea mtoto
Vinauaje?Vidonge vya cyanide
Sitaki hii ya LushotoView attachment 417786
Kuna lingine?
Nawashukuru wote mlionwish
Mungu awabariki
NB:
Sihitaji kuanzishiwa thread
..........
Bwahahahahahahaaaaa[emoji13]Unataka kuolewa???
Sikukuu???[emoji15]Asante mkuu wikiendi njema na sikukuu njema
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Bwahahahahahahaaaaa[emoji13]
My Nylon!!!!Namuombea umri mrefu zaidi na maisha ya kheri. [emoji120]
[emoji512] [emoji445] [emoji92]
Dikteta mkoloniDikteta kwenye ubora wake
Akikujibu unitagAlikufa kwa ugonjwa gani mkuu
Sio sikukuku ni maombolezoAsante mkuu wikiendi njema na sikukuu njema
Kumbukumbu ya mwalimu nyerereSikukuu???[emoji15]
Hitler alikuwa msimamiziAkiwa wapi na Hitler akiwa wapi?
Kwa hisani ya Mussolini5 tuma picha tuondoe maswali tata