Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.

Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.

Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
Weka na picha yake maana sidhani kama yeye mwenyewe ataiweka hahahahaha
 
Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.

Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.

Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
Namuombea umri mrefu zaidi na maisha ya kheri. [emoji120]
[emoji512] [emoji445] [emoji92]
 
1999 - Julius Kambarage Nyerere anafariki Dunia.

Alikiwa ni Rais wa kwanza katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Anajulikana kama Baba wa Taifa, ameongoza nchi hiyo kwa miaka 23 kabla ya kung'atuka na kumuachia Ali Hassan Mwinyi.

Ana mchangi mkubwa sana katika ukombozi wa Bara la Afrika hasa nchi za Kusini mwa Afrika.

Alifariki huko London katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas.
Alikufa kwa ugonjwa gani mkuu
 
1968 - Matthew Le Tissier anazaliwa.

Ni gwiji wa mpira wa klabu ya Southampton unayoshiriki ligi kuu ya Uingereza.

Pamoja na uhodari wake wote wa kufunga magoli akiwa na klabu ya Southampton hakuwahi kuchezea timu ya taifa ya England.

Mashabiki wake humuita jina la utani " Le God "
Screenshot_2016-10-14-10-00-08.png
Screenshot_2016-10-14-09-59-45.png
Screenshot_2016-10-14-10-00-22.png

Nyota ya bundi inahusika
......
 
Dah!!! vitoto vingine vinaumbua sana[emoji15]

Tulikua kwenye daladala, mtoto mmoja akamuuliza mama yake, mama tunaenda wapi na hatujaoga? [emoji38][emoji38][emoji38]

Dereva imembidi asimamishe gari tucheke kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
wife:- Darling, how much do you love me ????

Husband:- 82%

Wife:- Huh, why it is not 100% ????

Husband :- 18% VAT is applicable on all transactions.

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
```Nilisimamishwa na polisi jana usiku wakaniuliza mbona natembea usiku nikawauliza kwani usiku watu huogelea..```

*Sipendi ujinga mimi*

```Niko kwa landrover sasa hivi i think wananipeleka home...```[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom