Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Nakuona...!
1476429535325.jpg
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii
tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano
fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda
na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1
week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo
safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe
tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi
wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani
hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy
wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution
wiki hii nakuja kwako.....
BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi
Serena tena coz mjukuu wangu
atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi,
huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi
next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia
mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for
the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea
kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya
Serena iko palepale......
 
1999 - Julius Kambarage Nyerere anafariki Dunia.

Alikiwa ni Rais wa kwanza katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Anajulikana kama Baba wa Taifa, ameongoza nchi hiyo kwa miaka 23 kabla ya kung'atuka na kumuachia Ali Hassan Mwinyi.

Ana mchangi mkubwa sana katika ukombozi wa Bara la Afrika hasa nchi za Kusini mwa Afrika.

Alifariki huko London katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas.
IMG_20161014_102000.jpeg
IMG_20161014_102009.jpeg
IMG_20161014_102017.jpeg
IMG_20161014_101950.jpeg

RIP
.....
 
Back
Top Bottom