Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.

Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.

Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
Huwa nachukia neno kadhaa.

By the way Hongera blaza kaka Bitoz nyangema
 
1964 - Martin Luther King Jr anapewa Tuzo ya amani ya Nobel kwa mchango wake katika mapambano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
439d37b2e26f7b9610610b6343fac098.jpg
IMG_20161014_091702.jpeg
IMG_20161014_091651.jpeg

Respect
....
 
1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.

Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.

Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
Rommel alijiua kwa njia gani?
 
Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.

Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.

Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
Happy birthday [emoji512] bitoz

Nasubiri kuona picha yake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.

Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.

Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji147] [emoji154] [emoji158] [emoji149] [emoji166]
Zawadi zake hizoo[emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Back
Top Bottom