Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,299
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna ka asilina wewe yako tamu sana duuhh na kama unauraia wa rwanda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna ka asilina wewe yako tamu sana duuhh na kama unauraia wa rwanda
Ingefaa ujitambulishe mkuu, hapa wote twafahamiana,,,ingefaa tujue jenda yako tusijekukuudhina wewe yako tamu sana duuhh na kama unauraia wa rwanda
Bora1943 - Wafungwa katika gereza la Kijerumani la Sobibor huko nchini Poland waanzisha mgomo na kujaribu kutoroka.
Wafungwa 300 katibya 600 wanafanikiwa kutoroka na kuua askari 11 wa Gereza hilo.
Gereza la Sobibor ni moja ya magereza ya Siri yaliyokuwa yanamilikiwa na Serikali katili ya Dikteta Hitler.
Wa ngapi?1943 - Jose P. Laurel anaapishwa kuwa Rais wa Philipines.
Duuh hii kali1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.
Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.
Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
Kichwani au!Mi Maskini hahahahaha
Heshima kwake1964 - Martin Luther King Jr anapewa Tuzo ya amani ya Nobel kwa mchango wake katika mapambano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
Hii mijamaa iko smart sana
Alizaa watoto wengi kama panya hahahahaha
Hairisha=ahirishaKumbe leo ipo holiday mkuu hajahairisha
UmejuajeNi mtanzania sema anafanana na wanyarwanda
1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.
Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.
Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
Hilo ni tatizo la kitaifa mkuuKichwani au!
Aisee, hiyo adhabu ni balaa1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.
Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.
Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.