Makapuku Forum

Makapuku Forum

1999 - Julius Kambarage Nyerere anafariki Dunia.

Alikiwa ni Rais wa kwanza katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Anajulikana kama Baba wa Taifa, ameongoza nchi hiyo kwa miaka 23 kabla ya kung'atuka na kumuachia Ali Hassan Mwinyi.

Ana mchangi mkubwa sana katika ukombozi wa Bara la Afrika hasa nchi za Kusini mwa Afrika.

Alifariki huko London katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas.
 
1930 - Mobutu Sese Seko anazaliwa.

Alikuwa ni Rais na Dikteta wa zamani wa Zaire, kwa sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Anatajwa kama Bilionea wa kwanza Mweusi Ulimwenguni.

Alishiriki katika kukamatwa kuuwawa kwa Waziri Mkuu wa wakati huo, Payrice Lumumba.

Alipinduliwa mwaka 1997 na kukimbilia uhamishoni kabla kufariki huko Morocco na kuzikwa hukohuko.
Mzee wa gold
 
View attachment 417750
064a85ea119e42753cb3112249212dca.jpg

Alijiuaje?
..........
Swali zuri
 
1999 - Julius Kambarage Nyerere anafariki Dunia.

Alikiwa ni Rais wa kwanza katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Anajulikana kama Baba wa Taifa, ameongoza nchi hiyo kwa miaka 23 kabla ya kung'atuka na kumuachia Ali Hassan Mwinyi.

Ana mchangi mkubwa sana katika ukombozi wa Bara la Afrika hasa nchi za Kusini mwa Afrika.

Alifariki huko London katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas.
Nyerere day
 
1999 - Julius Kambarage Nyerere anafariki Dunia.

Alikiwa ni Rais wa kwanza katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Anajulikana kama Baba wa Taifa, ameongoza nchi hiyo kwa miaka 23 kabla ya kung'atuka na kumuachia Ali Hassan Mwinyi.

Ana mchangi mkubwa sana katika ukombozi wa Bara la Afrika hasa nchi za Kusini mwa Afrika.

Alifariki huko London katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas.
Apumzike vyema
 
1944 - Field Marshal Erwin Rommel katika Jeshi la Nazi la Ujerumani analazimishwa ajiue mwenyewe baada ya kuhusika kula njama za kutaka kumuua Kiongozi wa Nchi hiyo Adolf Hitler.

Baada ya kukiri kuhusika kwake, Hitler anamwambia Rommel ajiue mwenyewe ili kulinda heshima yake kutokana na mchango wake katika Taifa hilo.

Rommel anajiua na inatangazwa kuwa alikufa kwa ajali ya gari na anazikwa mazishi ya kitaifa kwa kupewa heshima zote.
Laiti angefanikiwa kumuua Hitler.....
 
Back
Top Bottom