Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,605
Ni kifo tu hakuna namna ili akatusaliti na huko tuendakoNa sisi tunaamini kuwa adhabu sahihi ya msaliti ni kifo.
Ni kifo tu hakuna namna ili akatusaliti na huko tuendakoNa sisi tunaamini kuwa adhabu sahihi ya msaliti ni kifo.
Ndio tunalalamika awamu imekuwa ngumu kumbe sisi ndio wagumuWana maanisha, sema wabongo tuna roho mbaya ila ni waoga tu
1890 - Dwight D. Eisenhower anazaliwa.
Alikuwa ni Jenerali na Rais wa 34 wa Marekani.
Alikuwa ni Kamanda mkuu wa kwanza wa Majeshi ya Nato.
Tukamtembelee Bitoz kisha tukodi canter moja ya mchanga kisha tummwagieFor sure
Kuna wanaosema alijipiga risasi na kuna wanaosema alikunywa sumuRommel alijiua kwa njia gani?
hata mimi...Happy birthday [emoji512] bitoz
Nasubiri kuona picha yake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ahsante...Kwa hisani ya Mussolini5 tuma picha tuondoe maswali tata
Asante sana mkuu mussolin kwa leo katika historia iliyo Shiba
Amen.Barikiwa mussolin5
1930 - Mobutu Sese Seko anazaliwa.
Alikuwa ni Rais na Dikteta wa zamani wa Zaire, kwa sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Anatajwa kama Bilionea wa kwanza Mweusi Ulimwenguni.
Alishiriki katika kukamatwa kuuwawa kwa Waziri Mkuu wa wakati huo, Payrice Lumumba.
Alipinduliwa mwaka 1997 na kukimbilia uhamishoni kabla kufariki huko Morocco na kuzikwa hukohuko.
Acha basi kusapoti ule utafiti wa kila watu wanne!!![emoji23] [emoji125] [emoji125]Alikoki bastola yake na kuingiza mdomoni kwake kisha kujipiga risasi ( nafikiria ilikuwa hivyo ndivyo alivyojiua)
Mkuu pamoja sanaHaina shaka Dikteta leo historia imekuwa poa sana
hawana hata urafiki achilia mbali undugu.Hitler ana undugu wowote na Charlie Chaplin?
Happybirthday Butoz!!!.....nasubiria atakavyotupia tupicha twake[emoji12]Leo ni Siku ya Kuzaliwa ya Bitoz.
Ni mmoja kati ya Waasisi wa Makapuku Forum.
Ametimiza miaka kadhaa, hivyi nikiwa kama mkuu wa segment hii, namtakia kila la heri katika siku hii muhimu kwake, Mungu ambariki ampe uhai mrefu zaidi na wenye mafanikio. Amen
Akiwa Mabibo beachHappybirthday Butoz!!!.....nasubiria atakavyotupia tupicha twake[emoji12]
1939 - Ralph Lauren anazaliwa.
Ni mwanamitindo na mbunigu wa mavazi ya Ralph Lauren.
Nilikuwa najaribu kuona kama ule utafiti ulikuwa jipu au laAcha basi kusapoti ule utafiti wa kila watu wanne!!![emoji23] [emoji125] [emoji125]
Kumbe wewe ni mwalimu wa kiswahiliUmejuaje
Utozi ndio uliokugusa hapo
Wewe ni mwanamke au mwanaumeReagan namkubali