Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
1979 - Wes Brown anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Man Utd, Sunderland na timu ya taifa ya England.
Ni beki aliyekuwa haongei sana uwanjani ila shughuli yake ni pevu. Kwasasa hana timu.
Ameshinda Ubingwa wa ulaya mara mbili akiwa na Man Utd.
Heshima makombe tu
.......