Makapuku Forum

Makapuku Forum

1979 - Wes Brown anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Man Utd, Sunderland na timu ya taifa ya England.

Ni beki aliyekuwa haongei sana uwanjani ila shughuli yake ni pevu. Kwasasa hana timu.

Ameshinda Ubingwa wa ulaya mara mbili akiwa na Man Utd.
Screenshot_2016-10-13-09-45-11.png
Screenshot_2016-10-13-09-44-42.png
IMG_20161013_094652.jpeg
IMG_20161013_094705.jpeg

Heshima makombe tu
.......
 
Back
Top Bottom