Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,527
Yaaaaaniiii ikoooo powaaaaaaaaaaa...Familia haijambo?
Yaaaaaniiii ikoooo powaaaaaaaaaaa...Familia haijambo?
Hatujambo aisee umeamkaje broaisee humu hamjambo??
Salama kabisa bado Mungu hajatupenda zaidiKwema ndugu yangu vipi wewe
Mimi sijui labda muulize anayetumia huduma hiyo aliyeweka risiti ya malipo hapa jukwaa ni hahahahahaDuuh yaani ile huduma ina risiti siku hizi
Jambo la kheri hiloYaaaaaniiii ikoooo powaaaaaaaaaaa...
1924 - Roberto Eduardo Fiola anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 44 wa Argentina.
Mimi sihitaji upendo wa Mungu zaidi ya upendo huu anaonipa hahahahahaSalama kabisa bado Mungu hajatupenda zaidi
Kwa mtazamo wako unalionaje hilo la risiti kwa huduma za kiroho kama hizo?Mimi sijui labda muulize anayetumia huduma hiyo aliyeweka risiti ya malipo hapa jukwaa ni hahahahaha
Leo katika Historia:
1923 - Jiji la Ankara lachaguliwa kuwa Mji Mkuu wa Uturuki.
Jiji hilo lachukua nafasi ya Instanbul kama Mji Mkuu.
Eti mkuu umeshapewa risiti ngapi mpaka sasa?
Ni sawa ila waanze kutoa risiti za EFD hahahahahaKwa mtazamo wako unalionaje hilo la risiti kwa huduma za kiroho kama hizo?
Wenzetu wapo siriazi hebu angalia jiji hilo
Wewe tu ndio huitaji ila akiamua mwenyewe mbona unaelekea chap tuMimi sihitaji upendo wa Mungu zaidi ya upendo huu anaonipa hahahahaha
Hatujamboaisee humu hamjambo??
Mimi huwa namuomba kila siku kuwa mapenzi yake anayonipa yanatosha, asinipende zaidi ya wanavyonipenda familia yangu hahahahahaWewe tu ndio huitaji ila akiamua mwenyewe mbona unaelekea chap tu
Imewachukua muda mrefu sana kulikenga hilo jiji.Wenzetu wapo siriazi hebu angalia jiji hilo
SijapewaEti mkuu umeshapewa risiti ngapi mpaka sasa?