shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Tuko poa kabisa, vp wanyaki hukoNaona ankali, ni vipi pande hizo lakini?
Tuko poa kabisa, vp wanyaki hukoNaona ankali, ni vipi pande hizo lakini?
Hahahaha mi nilisalimika, sijawahi kugusa mishkaki wala nyama choma kule..Briz sijui alisalimika na hii kitu?
Jana nlienda tukuyu aka tokyo sikuwah kufika kabla, watu wanapiga kilimo sio mchezoTuko poa kabisa, vp wanyaki huko
[emoji86] hapana.Nawe unaweza kutuma maombi
Ngoja nikuachie fani yako, siiwezi kwa kweliKikofia ndo aliyeshindwa
Mimi ni mzoefu
...........
Huko watu wanalima sanaJana nlienda tukuyu aka tokyo sikuwah kufika kabla, watu wanapiga kilimo sio mchezo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaha mi nilisalimika, sijawahi kugusa mishkaki wala nyama choma kule..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mwanzo mgumuInabidi aache puli sasa, mana mbio fupi namna hiyo haitakiwi kumshinda [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Niaje brazaa..Huyo ndio makaveli
Sio Jet fighter mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaonekana mna speed ya bombadier afu mussolin5 anaenda speed ya concorde
Mbona kama hutanii [emoji4][emoji4]... Hebu weka picha
Siku hizi kuna akina Henerson ( HENDO) Kiungo anayepiga pasi za darasani ( Sio kipaji na wala sio mnyumbulifu )
Bila shaka ni Makete au Mafinga Iringa ( Natania tu )
Poa kijana, vip kigamboniNiaje brazaa..
Unachoweza ni puli tuNgoja nikuachie fani yako, siiwezi kwa kweli
Made in EnglandSiku hizi kuna akina Henerson ( HENDO) Kiungo anayepiga pasi za darasani ( Sio kipaji na wala sio mnyumbulifu )
Utani wenye ukweliBila shaka ni Makete au Mafinga Iringa ( Natania tu )
hahaha...Afternoon Joke
.......
Upo kwenye foleni ya kumuona daktari ,ghafla anatokea mwanamke ambaye umemfuatilia muda mrefu lakini anakupiga kibuti, ila siku hiyo anaanza kukuchangamkia mpaka unaona kama mambo yatajipa, naye anapanga foleni.
Ghafla mlango unafunguliwa anatoka Daktari na anakunyooshea kidole " Wewe mwenye kaswende ingia"
Hapo ndipo utakapojua kwanini muuza kahawa hana leseni wakati anatembea na chombo cha moto barabarani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
............
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Afternoon Joke
.......
Upo kwenye foleni ya kumuona daktari ,ghafla anatokea mwanamke ambaye umemfuatilia muda mrefu lakini anakupiga kibuti, ila siku hiyo anaanza kukuchangamkia mpaka unaona kama mambo yatajipa, naye anapanga foleni.
Ghafla mlango unafunguliwa anatoka Daktari na anakunyooshea kidole " Wewe mwenye kaswende ingia"
Hapo ndipo utakapojua kwanini muuza kahawa hana leseni wakati anatembea na chombo cha moto barabarani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
............